Unique 1 Production

TUNAFANYA VIDEO EDIT NA GRAPHICS ZA AINA ZOTE TEMBELEA KURASA ZETU.

Kampuni Ya Unique 1 Inakuletea Kazi Bora Zaidi Kuanzia Graphics Designing,Video Editing Wasiliana Nasi Kwa Nambari 0713040730

NABII LINUS TESHA AMSIFU GOODLUCK GOZBERT NAKUMTABIRIA MAKUBWA ZAIDI TANZANIA.

Mwimbaji Wa Kimataifa Goodluk Gozbert Ambaye Pia Ni Rafiki Mkubwa Wa Nabii Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania Mwenye Makao Yake Mjini Dodoma,Na Tawi Jijini Dar Es Salaam,Nabii Linus Tesha,. Kwa Matangazo Wasiliana nasi kwa nambari 0713040730. Wote Mnakaribishwa.

TUNA DEAL NA WEBSITE NA BLOG DESIGN TEMBELEA UKURASA WETU KILA SIKU.

Unique 1 Tanzania Inakuletea Website Na Blog Design Hakikisha Unatembelea Kurasa Yetu Kila Siku Upate Kunufaika Na Update Mbalimbali.We Give You What You Deserve.Be Connected. Tupigie Kwa Nambari 0713040730

KUTANA NA NABII WA KIMATAIFA MAJOR PROPHET LINUS TESHA

Kutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Mwenye Kuongoza Kundi Kubwa La Watu Wa Mungu Katika Ukombozi Juu Ya Maisha Yao,Nabii Linus Tesha Ambaye Ni Nabii Kiongozi Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania(MRD),Kwa Sasa Unaweza Kutembelea Huduma Zake Kwa Dodoma Yuko Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Machinjio Ya Veta Na Kwa Dar Es Salaam Anapatikana Njia Panda Segerea,Ya Majumba Sita Nyuma Ya Godauni Kubwa La Ushirika. Kwa Mawasiliano Piga 0713040730/0719462642.Watu Wakabila Yote Bila Kusahau Dhehebu Lolote Lile Wote Mnakaribishwa.

Sunday, December 25, 2016

DIR OSWALDJR NDANI YA DODOMA FM 98.4











nikiitangaza huduma ya mafunuo na ukombozi chini ya mtumishi wa Mungu Nabii Linus Tesha ambapo huduma hiyo inapatikana DODOMA nyuma ya Bunge mkabala na veta club pia kwa Dar es salaam huduma hii inapatikana njia panda segerea nyuma ya magodauni ya ushirika kwa mawasiliano tupigie 0713040730.wote mnakaribishwa.

Wednesday, December 7, 2016

MAJOR PROPHET LINUS TESHA KUFANYA SEMINA YA HATIMA NJEMA I/JUMA-J/PILI WIKI HII.

HII SIO YA KUKOSA SEMINA KUBWA YA HATIMA NJEMA(GOOD DESTINY) ITAANZA IJUMAA MPAKA JUMAPILI YA WIKI HII SEMINA ITAENDESHWA NA MAJOR PROPHET LINUS TESHA MUDA WA KUANZA NI SAA TISA MCHANA MAHALI NI NJIA PANDA SEGEREA,NYUMA YA MAGODAUNI YA USHIRIKA -DAR ES SALAAM TANZANIA,KUMBUKA MWEZI WA KUMI NA MBILI NI MWEZI WA HATIMA NJEMA FIKA KATIKA SEMINA BILA KUKOSA UPATE KUMILIKI BARAKA ZA KUMALIZA MWAKA SALAMA KILA KILICHOSHINDIKANA KATIKA MAISHA YAKO NDANI YA SIKU TATU ZA SEMINA KITAWEZEKANA NA UTAKUWA HURU KABISA.
PROPHETIC MACHINE
PROPHET LINUS TESHA.