Unique 1 Production

TUNAFANYA VIDEO EDIT NA GRAPHICS ZA AINA ZOTE TEMBELEA KURASA ZETU.

Kampuni Ya Unique 1 Inakuletea Kazi Bora Zaidi Kuanzia Graphics Designing,Video Editing Wasiliana Nasi Kwa Nambari 0713040730

NABII LINUS TESHA AMSIFU GOODLUCK GOZBERT NAKUMTABIRIA MAKUBWA ZAIDI TANZANIA.

Mwimbaji Wa Kimataifa Goodluk Gozbert Ambaye Pia Ni Rafiki Mkubwa Wa Nabii Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania Mwenye Makao Yake Mjini Dodoma,Na Tawi Jijini Dar Es Salaam,Nabii Linus Tesha,. Kwa Matangazo Wasiliana nasi kwa nambari 0713040730. Wote Mnakaribishwa.

TUNA DEAL NA WEBSITE NA BLOG DESIGN TEMBELEA UKURASA WETU KILA SIKU.

Unique 1 Tanzania Inakuletea Website Na Blog Design Hakikisha Unatembelea Kurasa Yetu Kila Siku Upate Kunufaika Na Update Mbalimbali.We Give You What You Deserve.Be Connected. Tupigie Kwa Nambari 0713040730

KUTANA NA NABII WA KIMATAIFA MAJOR PROPHET LINUS TESHA

Kutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Mwenye Kuongoza Kundi Kubwa La Watu Wa Mungu Katika Ukombozi Juu Ya Maisha Yao,Nabii Linus Tesha Ambaye Ni Nabii Kiongozi Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania(MRD),Kwa Sasa Unaweza Kutembelea Huduma Zake Kwa Dodoma Yuko Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Machinjio Ya Veta Na Kwa Dar Es Salaam Anapatikana Njia Panda Segerea,Ya Majumba Sita Nyuma Ya Godauni Kubwa La Ushirika. Kwa Mawasiliano Piga 0713040730/0719462642.Watu Wakabila Yote Bila Kusahau Dhehebu Lolote Lile Wote Mnakaribishwa.

Tuesday, September 26, 2017

NABII PETRO B.KAYAGAMBE NDANI YA UJENZI WA KANISA MJINI DODOMA-KISASA.

#Hakikisha Unamsupport Major Miracle one Katika Ujenzi Wa Nyumba Ya Mungu Maelekezo Kila Kitu Yapo Hapo.
"SICHEKI NA SHETANI HATA KIDOGO { THE MOJOR MIRACLE ONE IN DODOMA } UKIGUSWA KUCHANGIA UJENZI KUPITIA MTANDAO TUMA KWA 0717695262 NA 0768 822742 PETRO PETRO"
Cc.Mtume Na Nabii Petro B.Kayagambe.
Kwa Matangazo Mbalimbali Kupitia Blog Yetu Piga.0713040730

Sunday, September 24, 2017

KUTANA NA NABII WA KIMATAIFA PROPHET LINUS TESHA AKA PROPHETIC MACHINE.




Kutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Mwenye Kuongoza Kundi Kubwa La Watu Wa Mungu Katika Ukombozi Juu Ya Maisha Yao,Nabii Linus Tesha Ambaye Ni Nabii Kiongozi Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania(MRD),Kwa Sasa Unaweza Kutembelea Huduma Zake Kwa Dodoma Yuko Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Machinjio Ya Veta Na Kwa Dar Es Salaam Anapatikana Njia Panda Segerea,Ya Majumba Sita Nyuma Ya Godauni Kubwa La Ushirika.
Kwa Mawasiliano Piga 0713040730/0719462642.Watu Wakabila Yote Bila Kusahau Dhehebu Lolote Lile Wote Mnakaribishwa.

Friday, September 22, 2017

Tuesday, September 12, 2017

SIKU 3 ZA UPAKO WA KINABII NA NABII LINUS TESHA JIJINI DAR ES SALAAM.



Nabii Mkuu Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Amekuandalia Siku Tatu Tu Za Kupokea Unabii Wako Ambao Utakupa Direction Ya Maisha Yako Mahali Ni Jijini Dar Es Salaam Njia Panda Ya Segerea Majumba Sita Nyuma Ya Godauni La Ushirika Kwa Mawasiliano Piga 0713040730.
Kwa Matangazo Mbalimbali Kupitia Blog Yetu Wote Mnakaribishwa Bei Ni Nafuu.

Tuesday, September 5, 2017

MWL.DEBORAH LEMA KUFANYA HUDUMA KIMATAIFA.



MWL.DEBORAH KUKUFIKIA ULIPO.
Kwa Huduma Ya Neno La Mungu Kutana Na Mwl.Deborah Lema Kutoka Chuo Kikuu Cha Dodoma Sasa Ameamua Kufanya Huduma Ya Kufundisha Neno La Mungu Kimataifa Zaidi Je Wewe Ni Mtumishi Wa Mungu Na Ungetamani Kukutana Na Mwl. Deborah Lema,Bhasi Kwa Mawasiliano Waweza Kumpata Kwa Nambari +255657578982/+255769661628.
Kwa Neno La Mungu Kila Siku Bhasi Unaweza Kumpata.
Facebook.Mwl.Deborah Lema.

@Dir Oswald Tesha
@Unique 1.