Unique 1 Production

TUNAFANYA VIDEO EDIT NA GRAPHICS ZA AINA ZOTE TEMBELEA KURASA ZETU.

Kampuni Ya Unique 1 Inakuletea Kazi Bora Zaidi Kuanzia Graphics Designing,Video Editing Wasiliana Nasi Kwa Nambari 0713040730

NABII LINUS TESHA AMSIFU GOODLUCK GOZBERT NAKUMTABIRIA MAKUBWA ZAIDI TANZANIA.

Mwimbaji Wa Kimataifa Goodluk Gozbert Ambaye Pia Ni Rafiki Mkubwa Wa Nabii Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania Mwenye Makao Yake Mjini Dodoma,Na Tawi Jijini Dar Es Salaam,Nabii Linus Tesha,. Kwa Matangazo Wasiliana nasi kwa nambari 0713040730. Wote Mnakaribishwa.

TUNA DEAL NA WEBSITE NA BLOG DESIGN TEMBELEA UKURASA WETU KILA SIKU.

Unique 1 Tanzania Inakuletea Website Na Blog Design Hakikisha Unatembelea Kurasa Yetu Kila Siku Upate Kunufaika Na Update Mbalimbali.We Give You What You Deserve.Be Connected. Tupigie Kwa Nambari 0713040730

KUTANA NA NABII WA KIMATAIFA MAJOR PROPHET LINUS TESHA

Kutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Mwenye Kuongoza Kundi Kubwa La Watu Wa Mungu Katika Ukombozi Juu Ya Maisha Yao,Nabii Linus Tesha Ambaye Ni Nabii Kiongozi Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania(MRD),Kwa Sasa Unaweza Kutembelea Huduma Zake Kwa Dodoma Yuko Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Machinjio Ya Veta Na Kwa Dar Es Salaam Anapatikana Njia Panda Segerea,Ya Majumba Sita Nyuma Ya Godauni Kubwa La Ushirika. Kwa Mawasiliano Piga 0713040730/0719462642.Watu Wakabila Yote Bila Kusahau Dhehebu Lolote Lile Wote Mnakaribishwa.

Friday, March 17, 2017

DIR MBANGWA HASSAN ANAKULETEA ACHANA NAO BY BAHATI BUKUKU NEW GOSPEL HIT SONG.


Utakosaje kazi mpya toka kwa Director mkali wa ngoma video za gospel sasa aachia Achana nao ya Bahati bukuku kuitazama hii video nenda youtube moja kwa moja andika achana nao .
#This is Dir mbangwa Hassan Season kazi kali kama kawa sasa ni level za kimataifa.
#Achana nao By Bahati Bukuku New hit song in town try not to mis,it is your time go youtube now and watch,
#DIR OSWALDJR.

Tuesday, March 7, 2017

AKUTANA NA MUUJIZA WA KUTEMBEA KANISANI BAADA YA NABII LINUS TESHA KUFANYA MAOMBI JUU YAKE




Ilikuwa ni Jumapili ya Kifalme mjini Dodoma Ambapo Mbaba mmoja alikuja na jeraha kubwa mguuni pake na jeraha hilo lilimfanya ashindwe kutembea kabisa wakati ibada inaendelea Nabii Linus Tesha aliona tatizo juu ya Baba huyo ndipo akamuombea na mara Baba huyo akatupa Gongo na kutembea Mwenyewe, hakika matendo ya Bwana ni hakika hata sasa.

IBADA KUU YA KIKUHANI KUSIFU NA KUABUDU KUFANYIKA MJINI DODOMA WIKI HII NA NABII LINUS TESHA.

Ibada kubwa ya Kikuhani ya kusifu na kuabudu kufanyika Jumapili Dodoma wiki hii ambapo mtumishi wa Mungu Nabii Linus Tesha ataongoza ibada hii kubwa pia tunaalika waimbaji mbalimbali kufika kama wewe ni muimbaji tunapenda kutambua uwepo wako mapema kwa mawasiliano tupigie 0713040730 mahali ni nyuma ya Bunge mkabala na veta club Ibada inaanza saa sita mchana.upatapo Tangazo hili mjulishe na mwingine.
#source Mrd International Prophetic Ministries Tanzania.
#Dir Oswaldjr