Unique 1 Production

TUNAFANYA VIDEO EDIT NA GRAPHICS ZA AINA ZOTE TEMBELEA KURASA ZETU.

Kampuni Ya Unique 1 Inakuletea Kazi Bora Zaidi Kuanzia Graphics Designing,Video Editing Wasiliana Nasi Kwa Nambari 0713040730

NABII LINUS TESHA AMSIFU GOODLUCK GOZBERT NAKUMTABIRIA MAKUBWA ZAIDI TANZANIA.

Mwimbaji Wa Kimataifa Goodluk Gozbert Ambaye Pia Ni Rafiki Mkubwa Wa Nabii Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania Mwenye Makao Yake Mjini Dodoma,Na Tawi Jijini Dar Es Salaam,Nabii Linus Tesha,. Kwa Matangazo Wasiliana nasi kwa nambari 0713040730. Wote Mnakaribishwa.

TUNA DEAL NA WEBSITE NA BLOG DESIGN TEMBELEA UKURASA WETU KILA SIKU.

Unique 1 Tanzania Inakuletea Website Na Blog Design Hakikisha Unatembelea Kurasa Yetu Kila Siku Upate Kunufaika Na Update Mbalimbali.We Give You What You Deserve.Be Connected. Tupigie Kwa Nambari 0713040730

KUTANA NA NABII WA KIMATAIFA MAJOR PROPHET LINUS TESHA

Kutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Mwenye Kuongoza Kundi Kubwa La Watu Wa Mungu Katika Ukombozi Juu Ya Maisha Yao,Nabii Linus Tesha Ambaye Ni Nabii Kiongozi Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania(MRD),Kwa Sasa Unaweza Kutembelea Huduma Zake Kwa Dodoma Yuko Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Machinjio Ya Veta Na Kwa Dar Es Salaam Anapatikana Njia Panda Segerea,Ya Majumba Sita Nyuma Ya Godauni Kubwa La Ushirika. Kwa Mawasiliano Piga 0713040730/0719462642.Watu Wakabila Yote Bila Kusahau Dhehebu Lolote Lile Wote Mnakaribishwa.

Monday, October 23, 2017

DAY 1 BISHOP GWAJIMA CRUSADE ATIKISA-TEGETA, HUKU MASANJA AKITAMBA NA KIBAO CHAKE KIPYA

<iframe src="https://web.facebook.com/plugins/video.php?href=https%3A%2F%2Fweb.facebook.com%2Fjgwajima%2Fvideos%2F1646354775439576%2F&show_text=1&width=560" width="560" height="641" style="border:none;overflow:hidden" scrolling="no" frameborder="0" allowTransparency="true" allowFullScreen="true"></iframe>

Saturday, October 21, 2017

NABII LINUS TESHA KUITIKISA JIJI LA MWANZA KWA SIKU MBILI












Nabii Mkuu Wa Makanisa Ya MRD INT'L PROPHETIC MINISTRIES TANZANIA,Nabii Linus Tesha Atakuwa Akifanya Huduma Jijini Mwanza Pale Buzuruga Mwananchi Siku Ya Jummanne Na Jumatano Tar 24 na 25 Mwezi Huu Wa 10,2017.Usipange Kukosa Mungu Anakwenda Kutenda Matendo Makuu Kwa Wenye Kansa,Kisukari,Ukimwi Na Magonjwa Yote Sugu Wanakwenda Kupokea Uponyaji Wao Katika Jina La Yesu.........Alika Na Wengine Upatapo Matangazo Haya.
Contact 0713040730.

Saturday, October 14, 2017

MAJOR PROPHET LINUS TESHA KUHITIMISHA MAOMBI YA SIKU 7 JIJINI DAR ES SALAAM TZ.

Nabii Mkuu Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukumbozi Tanzania Siku Ya Kesho Tar 15/10/2017 Ataongoza Ibada Kubwa Ikiwa Ni Mwezi Wa Dhahabu,Atabariki Watu Na Kuwaombea Huku Akiwaambatanisha Na Baraka Kuu Za Mungu Na Siku Ya Kesho Jumapili Ni Siku Ya Mwisho Yaani Hitimisho La Maombi Siku Ya Saba Yaliyoanza Tokea Jumatatu,Huku Maombi Haya Yakiongozwa Na Nabii Linus Tesha Mahali Ni Njia Panda Segerea Nyuma Ya Godauni La Ushirika Kwa Mawasiliano Piga 0713040730.Wote Mnakaribishwa Ibada Itaanza Saa 5 Asubuhi.

IBADA DODOMA KUONGOZWA NA APOSTLE MATHIAS SON OF MAJOR PROPHET LINUS TESHA

Jumapili Ya Tar 15 Mwezi Huu Wa 10 Itaongozwa Na Apostle Kiongozi Apostle Mathias Mtoto Wa Nabii Linus Tesha Ibada Itafanyika Dodoma Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Veta Club Kwa Mawasiliano Piga 0719462642 Kufika Kanisani Ibada itaanza Mapema Saa 4 Asubuhi.Watu Wadini Zote Na Kabila Zote Usipange Kukosa...........
#TANGAZA HUDUMA YAKO NA BLOG YETU KWA MAWASILIANO TUPIGIE.
#0713040730.

Sunday, October 8, 2017

SIKU 7 ZA SEMINA YA MAOMBI JIJINI DAR ES SALAAM BY PROPHET LINUS TESHA

#SIKU 7 ZA MAOMBI JIJINI DAR ES SALAAM.
Shalom Karibu Katika Siku 7 Za Maombi Jijini Dar Es Salaam Kupitia Maombi Haya Mambo Makubwa Yaliyo jificha Juu Ya Maisha Yako Ikiwemo Baraka Za Mungu Zinakwenda Kujidhiirisha Kwako Na Familia Yako,Naachilia Kibali Cha Kufika Katika Maombi Ambayo Yanaanza Leo J/tatu Jijini Dar Es Salaam Mpaka Jumapili,Pokea Kibali Cha Kufika Katika Jina La Yesu......,#CC.Prophet Linus Tesha.

Saturday, October 7, 2017

NABII LINUS TESHA ATUA JIJINI DAR ES SALAAM TOKEA MWANZA

Nabii Mkuu Wa Makanisa Ya Mafanuo Na Ukombozi Tanzania Nabii Linus Tesha Atua Jijini Dar Es Salaam,Tokea Mwanza Kwaajili Ya Ibada Ya Kinabii Itakayo Fanyika Hapa Jijini Dar Es Salaam Siku Ya Leo Jumapili Kuanzia Majira Ya Saa 5 Asubuhi Pale Njiapanda Segerea Nyuma Ya Godauni La Ushirika Kwa Mawasiliano Piga 0713040730 Kufika Kanisani.Wote Mnakaribishwa.

KARIBU UNIQUE 1 PRODUCTION TANZANIA KWA KAZI ZA VIWANGO VIKUBWA.

Unique I Production Inadeal Na Maswala Mbalimbali Ya Production Kama Kuandaa Matangazo Ya Huduma,Event Mbalimbali,Kushoot Harusi Na Kupiga Picha,Website and Blog Design,social networking Management System na Nk.........Kwa Mawasiliano Piga 0713040730.

Wednesday, October 4, 2017

REV.EMMANUEL MGOGO-UMEKUSUDIWA NA MUNGU COVER DESIGN BY UNIQUE 1.








Cover By Unique 1 Productions Tanzania Call Us 0713040730

TANGAZA HUDUMA YAKO NA BLOG YETU KWA MAWASILIANO PIGA 0713040730.

Unique 1 Production Tanzania.

MASWALA YA IT, GRAPHICX DESIGN,WEBSITE & BLOG DESIGN -PIGA 0713040730






Unique 1 Production Team Inakuletea Uandaaji Wa Matangazo Mbalimbali Ya Aina Zote Kwa Bei Nafuu Zaidi Waweza Kuwasiliana Nasi Kwa 0713040730 Kupata Huduma Zaidi Wote Mnakaribishwa.

Tuesday, October 3, 2017

NABII MKUU LINUS TESHA KUTUA MWANZA KWA SIKU 3 ZA KINABII.........



Nabii Mkuu Wa Makanisa Ya Mafanuo Na Ukombozi Tanzania Anatarajia Kutua Mwanza Tar 4-6/10/2017 Ambapo Atafanya Huduma Ya Kinabii Kwa Watu Wa Butimba Kona Mtu Wa Mwanza Akikisha Ukosi Fursa Hii Ya Kukutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Ataweka Maisha Yako Sawa Kwa Uweza Wa Roho Mtakatifu Soma Maelekezo Vizuri Kwa Tangazo Hakikisha Unaalika Na Wengine By Diretor Oswald Teshajr@Official Unique 1 Tz.

Monday, October 2, 2017

OCTOBER IS THE GOLDEN MONTH BY PROPHET LINUS TESHA

Mwezi Wa 10 Ni "GOLDEN MONTH" Hagai 2:8 Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,asema Bwana Wa Majeshi,Nikiwa Na Nabii Wa Bwana Mwezi Huu Fedha Ikawe Sehemu Yako Na Miujiza Ya Kipesa Ikaambatane Na Wewe....Receive In Jesus Name,
CC.Prophet Linus Tesha.