Unique 1 Production

TUNAFANYA VIDEO EDIT NA GRAPHICS ZA AINA ZOTE TEMBELEA KURASA ZETU.

Kampuni Ya Unique 1 Inakuletea Kazi Bora Zaidi Kuanzia Graphics Designing,Video Editing Wasiliana Nasi Kwa Nambari 0713040730

NABII LINUS TESHA AMSIFU GOODLUCK GOZBERT NAKUMTABIRIA MAKUBWA ZAIDI TANZANIA.

Mwimbaji Wa Kimataifa Goodluk Gozbert Ambaye Pia Ni Rafiki Mkubwa Wa Nabii Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania Mwenye Makao Yake Mjini Dodoma,Na Tawi Jijini Dar Es Salaam,Nabii Linus Tesha,. Kwa Matangazo Wasiliana nasi kwa nambari 0713040730. Wote Mnakaribishwa.

TUNA DEAL NA WEBSITE NA BLOG DESIGN TEMBELEA UKURASA WETU KILA SIKU.

Unique 1 Tanzania Inakuletea Website Na Blog Design Hakikisha Unatembelea Kurasa Yetu Kila Siku Upate Kunufaika Na Update Mbalimbali.We Give You What You Deserve.Be Connected. Tupigie Kwa Nambari 0713040730

KUTANA NA NABII WA KIMATAIFA MAJOR PROPHET LINUS TESHA

Kutana Na Nabii Wa Kimataifa Nabii Linus Tesha Mwenye Kuongoza Kundi Kubwa La Watu Wa Mungu Katika Ukombozi Juu Ya Maisha Yao,Nabii Linus Tesha Ambaye Ni Nabii Kiongozi Wa Makanisa Ya Mafunuo Na Ukombozi Nchini Tanzania(MRD),Kwa Sasa Unaweza Kutembelea Huduma Zake Kwa Dodoma Yuko Nyuma Ya Bunge Mkabala Na Machinjio Ya Veta Na Kwa Dar Es Salaam Anapatikana Njia Panda Segerea,Ya Majumba Sita Nyuma Ya Godauni Kubwa La Ushirika. Kwa Mawasiliano Piga 0713040730/0719462642.Watu Wakabila Yote Bila Kusahau Dhehebu Lolote Lile Wote Mnakaribishwa.

Sunday, December 25, 2016

DIR OSWALDJR NDANI YA DODOMA FM 98.4











nikiitangaza huduma ya mafunuo na ukombozi chini ya mtumishi wa Mungu Nabii Linus Tesha ambapo huduma hiyo inapatikana DODOMA nyuma ya Bunge mkabala na veta club pia kwa Dar es salaam huduma hii inapatikana njia panda segerea nyuma ya magodauni ya ushirika kwa mawasiliano tupigie 0713040730.wote mnakaribishwa.

Wednesday, December 7, 2016

MAJOR PROPHET LINUS TESHA KUFANYA SEMINA YA HATIMA NJEMA I/JUMA-J/PILI WIKI HII.

HII SIO YA KUKOSA SEMINA KUBWA YA HATIMA NJEMA(GOOD DESTINY) ITAANZA IJUMAA MPAKA JUMAPILI YA WIKI HII SEMINA ITAENDESHWA NA MAJOR PROPHET LINUS TESHA MUDA WA KUANZA NI SAA TISA MCHANA MAHALI NI NJIA PANDA SEGEREA,NYUMA YA MAGODAUNI YA USHIRIKA -DAR ES SALAAM TANZANIA,KUMBUKA MWEZI WA KUMI NA MBILI NI MWEZI WA HATIMA NJEMA FIKA KATIKA SEMINA BILA KUKOSA UPATE KUMILIKI BARAKA ZA KUMALIZA MWAKA SALAMA KILA KILICHOSHINDIKANA KATIKA MAISHA YAKO NDANI YA SIKU TATU ZA SEMINA KITAWEZEKANA NA UTAKUWA HURU KABISA.
PROPHETIC MACHINE
PROPHET LINUS TESHA.

Friday, November 18, 2016

MUUJIZA WA RASHID KUONA BAADA YA KUOMBEWA NA MAJOR PROPHET LINUS TESHA











Ashukuriwe Mungu Baba wa Mbinguni kwa kuzidi kudhihirisha matendo yake makuu katika madhabahu ya MRD PROPHETIC MINISTRY kupitia mtumishi wake Nabii Linus Tesha na hii ni baada Kijana Rashid aliyepofuka macho kabisa na alikuwa haoni chochote kile mpaka madaktari bingwa wameshindwa ndipo Rashid na ndugu zake waliamua kuchukua hatua ya kuja katika maombi baada ya kukutana na Major Prophet Linus Tesha Rashid alipata kuona tena katika jina la Yesu.

Friday, November 11, 2016

SIKU YA KWANZA YA SEMINA DAR ES SALAAM PROPHET LINUS AKIFUNDISHA NA KUFUNGUA MAISHA YA WATU.

















Ikiwa ni siku ya Kwanza kabisa ya Semina ya Kupokea roho ya mafanikio iliyoendeshwa na mtumishi wa Mungu Nabii Linus Tesha Hapa jijini Dar es salaam-njia panda segerea nyuma ya magodauni ya ushirika Alianza na Prophetic teaching huku akifungua maisha ya watu yalifungwa katika magonjwa sugu,pia aliendelea kuwafungua watu walioonewa na kushikiliwa maisha yao na shetani.Usikose Leo ni Siku Ya Pili.
MRD PROPHETIC MINISTRY DAR ES SALAAM.
DIR_OSWALDJR
G_TOUCH MEDIA

Thursday, November 10, 2016

CASFETA WILAYA YA ILALA KUFANYA MKESHA LEO KATIKA CHUO KIKUU CHA ST.JOHN BUGURUNI-MALAPA.

IJUMAA YA LEO Vijana wa CASFETA Wilaya ya ILALA Wamekuandalia Mkesha wa OVERNIGHT PRAYERS Utakaofanyika ST.JOHN'S UNIVERSITY,DAR ES SALAAM Iliyoko Buguruni Malapa Muda wa kuanza ni Saa TATU usiku Mpaka Saa Kumi na moja Alfajiri,Usipange Kukosa wewe Kijana maana wakati sahihi wa kuutafuta uso wa Mungu ni sasa nasio Kesho Upatapo tangazo hili Mwalike na mwingine.
#VIJANA WATATABIRI NA WAZEE WATAOTA NDOTO WEWE KIJANA USIKUBALI KULALA NJOO TUSALI PAMOJA.
DIRECTOR.OSWALDJR
G_TOUCH MEDIA

PROPHET LINUS TESHA ATAFANYA SEMINA JIJINI DAR ES SALAAM KESHO IJUMAA MPAKA JUMAPILI.

Watu wa Dar es Salaam msijaribu kukosa SEMINA ya Kupokea roho ya MAFANIKIO kuanzia kesho ijumaaa Tar11/11/2016 hadI Jumapili ya Tar13/11. kuanzia sa10jion-1usiku.kumbuka Jumapili ni saa6 mchana had 10 jion..mahali;njia panda segerea nyuma ya magodauni ya ushirika.piga 0719 893163..Kwa maelekezo.
fIKA BILA KUKOSA MTUMISHI WA MUNGU NABII LINUS TESHA ATAKUHUDUMIA
PROPHET LINUS TESHA.

Thursday, November 3, 2016

MOTO UTAENDELEA KUWAKA LEO IKIWA NI SIKU YA NNE(4) YA SEMINA KUBWA YA UKOMBOZI WA UCHUMI NA FAMILIA.

Semina inaendelea leo saa Tisa na Nusu Nabii Linus Tesha ataongoza Mtu mmoja mmoja katika maombi ya Ukombozi kutoka kwenye Madhabahu zinazosababisha umasikini na hasara katika maisha ya watu.
Pokea ukombozi katika uchumi wako...USIPANGE KUKOSA.

Wednesday, November 2, 2016

GOSPEL SINGER ALL THE TIME TANZANIA CATHERINE MKOMA.

Call us to get your Album SITA SAHAU WEMA WA MUNGU Contact:+255713040730/+255715570457.

CATHERINE MKOMA GOSPEL ARTIST TANZANIA

SITASAHAU WEMA WA MUNGU NOW AVAILABLE CALL US:+255713040730/+255715570457

SEMINA YA UKOMBOZI WA UCHUMI NA FAMILIA KUENDELEA LEO IKIWA NI SIKU YA 3




Ikiwa ni siku ya tatu ya semina ya ukombozi wa uchumi na familia watu wanazidi kufunguliwa na watu wengi kubarikiwa na semina inayoendeshwa na mtumishi wa Mungu Nabii linus Tesha kufika eneo la semina,Kanisa lipo nyuma ya BUNGE mkabala na Hoteli ya veta fika bila kukosa maana mwezi huu ni mwezi wa baraka zako na uwezi kumiliki bila ya kufunguliwa katika vifungo vya shetani.

Monday, October 17, 2016

HALLELUYAH WORSHIPPERS


MTINDO ELIAS GWITEGO KUZINDUA GROUP JIPYA LA HALLELUYAH WORSHIPPERS.


Kwa mara ya kwanza Mtindo Elias akiliongoza Group la PRAISE and WORSHIP linalokwenda Kwajina la HALLELUYAH WORSHIPPERS ni group la kuabudu na kumsifu Mungu ambalo mda sio mrefu litaanza tour zake nchi nzima na mikoa yake kwa lengo la kutangaza habari njema za Yesu Kristo Mwokozi kaa tayari kwa mambo mazuri toka HALLELUYAH WORSHIPPERS.

AMAZING INTERVIEW DONE BY CATHERINE MKOMA

Ilikuwa siku ya pekee CATHERINE MOKOMA kufanya INTERVIEW na MBEYA HIGHLAND RADIO ABOUT few days ago.